Swali: Je, imamu akimtaja Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inafaa kumswalia katikati ya Khutbah na kadhalika akimtaja Allaah tuseme “Subhaan Allaah”?
Jibu: Ndio, ikiwa utafanya hivo baina yako wewe na nafsi yako pasi n kunyanyua sauti ni sawa. Kwa sababu hii ni Dhikr. Hakuzingatiwi ni katika maneno ya watu. Hata ndani ya swalah hakupingani na swalah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
- Imechapishwa: 30/11/2018
Swali: Je, imamu akimtaja Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inafaa kumswalia katikati ya Khutbah na kadhalika akimtaja Allaah tuseme “Subhaan Allaah”?
Jibu: Ndio, ikiwa utafanya hivo baina yako wewe na nafsi yako pasi n kunyanyua sauti ni sawa. Kwa sababu hii ni Dhikr. Hakuzingatiwi ni katika maneno ya watu. Hata ndani ya swalah hakupingani na swalah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
Imechapishwa: 30/11/2018
https://firqatunnajia.com/kumswalia-mtume-na-kumtukuza-allaah-katikati-ya-khutbah/