Mtu wa sampuli ya tatu – na huyu ndiye mbaya zaidi – ni yule asiyeswali. Huyu ameritadi na ni kafiri na tunamuomba Allaah atukinge. Mtu huyu ni wajibu kumhama. Asiitikiwe salamu. Asitolewe salamu. Asiitikiwe mwaliko wake. Mpaka pale atapojitambua nafsi yake na kutubu kwa Allaah na kurudi katika Uislamu. Hapo ndipo atanufaika kwa hilo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/26)
- Imechapishwa: 16/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)