Swali: Je, inajuzu wakati wa kumsalimia mwanamke mwanaume kuweka kitambaa mkononi mwake au mwanamke naye aweke kitambaa mkononi mwake kisha wasalimiane kwa kushikana mikono?
Jibu: Haifia kusalimiana kwa kushikana mikono na wanawake. Bali unasalimia kwa maneno tu bila ya kushikana mikono, si kwa kuweka kitambaa wala bila kitambaa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi sisalimiani kwa kushikana mikono na wanawake.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3181/حكم-مصافحة-النساء-من-وراء-حاىل
- Imechapishwa: 01/08/2026
Swali: Je, inajuzu wakati wa kumsalimia mwanamke mwanaume kuweka kitambaa mkononi mwake au mwanamke naye aweke kitambaa mkononi mwake kisha wasalimiane kwa kushikana mikono?
Jibu: Haifia kusalimiana kwa kushikana mikono na wanawake. Bali unasalimia kwa maneno tu bila ya kushikana mikono, si kwa kuweka kitambaa wala bila kitambaa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi sisalimiani kwa kushikana mikono na wanawake.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3181/حكم-مصافحة-النساء-من-وراء-حاىل
Imechapishwa: 01/08/2026
https://firqatunnajia.com/kumsalimia-mwanamke-asiye-mahram-nyuma-ya-kitambaa/