Swali: Je, kumpenda mke myahudi au mnaswara kunapingana na imani?
Jibu: Haya ni mapenzi ya kimaumbile na sio mapenzi ya ki-´ibaadah. Haya ni mapenzi ya kimaumbile, kama ambavo unavopenda mali, wazazi wako na watoto. Haya ni mapenzi ya kimaumbile na ambayo mtu hachukuliwi kwayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 01/11/2018
Swali: Je, kumpenda mke myahudi au mnaswara kunapingana na imani?
Jibu: Haya ni mapenzi ya kimaumbile na sio mapenzi ya ki-´ibaadah. Haya ni mapenzi ya kimaumbile, kama ambavo unavopenda mali, wazazi wako na watoto. Haya ni mapenzi ya kimaumbile na ambayo mtu hachukuliwi kwayo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
Imechapishwa: 01/11/2018
https://firqatunnajia.com/kumpenda-mke-wa-kiyahudi-au-kinaswara/