Swali: Lau mwanamke anakufa na tumboni mwake ana kipomoko ambacho kiko hai. Je, inajuzu kwa daktari kupasua tumbo lake?
Jibu: Sioni kama kuna makatazo yoyote ya hili, hakuna ubaya – Allaah akitaka – kupasua tumbo lake na kumtoa mtoto nje.
Muulizaji: Baadhi yao [madaktari] wanawaua.
al-Waadi´iy: Kuwaua haijuzu. Haijuzu kumuua mtoto.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=381
- Imechapishwa: 16/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)