Swali: Lau mwanamke anakufa na tumboni mwake ana kijusi (mtoto) ambaye yuko hai. Je, inajuzu kwa tabibu kupasua tumbo lake?
Jibu: Sioni kama kuna makatazo yoyote ya hili, hakuna ubaya In Shaa Allaah kupasua tumbo lake na kumtoa mtoto nje.
Muulizaji: Baadhi yao (madaktari) wanawaua.
al-Waadi´iy: Kuwaua haijuzu. Haijuzu kumuua mtoto.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=381
- Imechapishwa: 02/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)