Swali: Inajuzu kwa baba kumpa matumizi mtoto wake mmoja na asimpe mwengine ikiwa mtoto huyo amepasi kwenye mtihani tofauti na mwengine?
Jibu: Hapana, haijuzu:
“Mcheni Allaah na fanyeni uadilifu kati ya watoto wenu.”[1]
Lakini hata hivyo inafaa akamtofautisha mtoto mmoja kukiwa kuna sababu kama vile mmoja wao ni fakiri. Ampe kwa ajili ya ufakiri wake, na sio kwa ajili ya kumtukuza. Hakuna neno. Hali kadhalika kumpa kwa ajili ya kumlipia deni lake; amtofautishe kwa ajili ya kumlipia deni lake. Hakuna neno.
[1] al-Bukhaariy (2587).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 27/10/2017
Swali: Inajuzu kwa baba kumpa matumizi mtoto wake mmoja na asimpe mwengine ikiwa mtoto huyo amepasi kwenye mtihani tofauti na mwengine?
Jibu: Hapana, haijuzu:
“Mcheni Allaah na fanyeni uadilifu kati ya watoto wenu.”[1]
Lakini hata hivyo inafaa akamtofautisha mtoto mmoja kukiwa kuna sababu kama vile mmoja wao ni fakiri. Ampe kwa ajili ya ufakiri wake, na sio kwa ajili ya kumtukuza. Hakuna neno. Hali kadhalika kumpa kwa ajili ya kumlipia deni lake; amtofautishe kwa ajili ya kumlipia deni lake. Hakuna neno.
[1] al-Bukhaariy (2587).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 27/10/2017
https://firqatunnajia.com/kumpa-zawadi-mtoto-kwa-kupasi-mtihani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)