Swali: Akiniomba mwenye kuomba na nikawa na dhana kubwa ya kwamba ananunua vitu vya haramu, kama sigara na kadhalika. Je, dhana yangu hii kubwa inatosheleza kutompa (Zakaah)?
Jibu: Ndio. Dhana kubwa inaenda katika manzilah ya yakini. Hii ni kanuni. Ukiwa na dhana kubwa ya kwamba ananunua vitu vya haramu, usimpe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-24.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Swali: Akiniomba mwenye kuomba na nikawa na dhana kubwa ya kwamba ananunua vitu vya haramu, kama sigara na kadhalika. Je, dhana yangu hii kubwa inatosheleza kutompa (Zakaah)?
Jibu: Ndio. Dhana kubwa inaenda katika manzilah ya yakini. Hii ni kanuni. Ukiwa na dhana kubwa ya kwamba ananunua vitu vya haramu, usimpe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-24.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumpa-zakaah-mtu-ambaye-unafikiria-ataitumia-katika-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)