Kumpa mtu pesa akuhijie kisha asifanye hivo

Swali: Kuna mtu alichukua mali kutoka kwa mtu mwingine ili amhijie lakini akawa hakuhiji. Ni ipi hukumu ya hilo?

Jibu: Arudishe pesa kwa mwenye nazo ili awakilishe mtu mwingine.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-01-08-1435-01.mp3
  • Imechapishwa: 03/05/2015