Swali: Nimempa mtoto wangu jina la Ishaaq. Mtu mmoja akanambia kwamba jina hili ni katika majina ya mayahudi. Ni ipi hukumu ya anayelikataza?
Jibu: Hili ni katika jina la Manabii na sio jina la mayahudi. Hili ni jina la Nabii; Ishaaq bin Ibraahiym (´alayhimas-Salaam). Anayesema hivi ni mjinga hajui.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Nimempa mtoto wangu jina la Ishaaq. Mtu mmoja akanambia kwamba jina hili ni katika majina ya mayahudi. Ni ipi hukumu ya anayelikataza?
Jibu: Hili ni katika jina la Manabii na sio jina la mayahudi. Hili ni jina la Nabii; Ishaaq bin Ibraahiym (´alayhimas-Salaam). Anayesema hivi ni mjinga hajui.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumpa-mtoto-jina-la-ishaaq/