Kumnyang´anya mke ulivyompa baada ya kumtaliki

Swali: Je, inafaa kwa mume kuchukua vile alivyompa mkewe atapomwacha baada ya kumjamii?

Jibu: Hapana, haijuzu. Alivyompa kisha anavimiliki yeye. Akimpa kitu na akakipokea basi anakimiliki. Hivyo haitojuzu kukichukua.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
  • Imechapishwa: 20/07/2024