Swali: Nina mama anayevuta sigara. Pindi ninapomkataza kuvuta sigara hunikasirikia, anasababisha matatizo makubwa na anataka kutoka kujinunulia mwenyewe. Ni mgonjwa wa akili. Inajuzu kwangu kumnunulia sigara?
Jibu: Ni maasi:
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”[1]
Mnasihi na umbainishie madhara ya sigara. Mweleze kuwa ni maasi yasiyojuzu yanayomdhuru yeye na afya yake na pia ni uchafu. Huenda akakinaika na kuacha.
[1] al-Bukhaari (7258) na Muslim (1840).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 09/02/2017
Swali: Nina mama anayevuta sigara. Pindi ninapomkataza kuvuta sigara hunikasirikia, anasababisha matatizo makubwa na anataka kutoka kujinunulia mwenyewe. Ni mgonjwa wa akili. Inajuzu kwangu kumnunulia sigara?
Jibu: Ni maasi:
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”[1]
Mnasihi na umbainishie madhara ya sigara. Mweleze kuwa ni maasi yasiyojuzu yanayomdhuru yeye na afya yake na pia ni uchafu. Huenda akakinaika na kuacha.
[1] al-Bukhaari (7258) na Muslim (1840).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 09/02/2017
https://firqatunnajia.com/kumnunulia-mama-sigara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)