Swali: Mimi nina jirani mbaya na nataka kuuza nyumba yangu. Je, ni lazima kwangu kumjuza mnunuzi juu ya jambo hilo?
Jibu: Ndio, mjuze sababu ya kuuza nyumba. Mjuze juu ya jambo hilo na usimfanyie ghushi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
- Imechapishwa: 31/01/2021
Swali: Mimi nina jirani mbaya na nataka kuuza nyumba yangu. Je, ni lazima kwangu kumjuza mnunuzi juu ya jambo hilo?
Jibu: Ndio, mjuze sababu ya kuuza nyumba. Mjuze juu ya jambo hilo na usimfanyie ghushi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
Imechapishwa: 31/01/2021
https://firqatunnajia.com/kumjuza-mteja-wa-nyumba-juu-ya-majirani-wabaya/