133- Baba yangu alinihadithia: Yahyaa bin Yamaan alinihadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa al-Hasan ambaye amesema:
“Hakuna kujisafisha baada ya kutokwa na upepo.”
Nilimsikia baba yangu akisema:
“Nami nasema vivyo hivyo.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/109)
- Imechapishwa: 31/01/2021
133- Baba yangu alinihadithia: Yahyaa bin Yamaan alinihadithia, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa al-Hasan ambaye amesema:
“Hakuna kujisafisha baada ya kutokwa na upepo.”
Nilimsikia baba yangu akisema:
“Nami nasema vivyo hivyo.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/109)
Imechapishwa: 31/01/2021
https://firqatunnajia.com/kujisafisha-baada-ya-kutokwa-na-upepo/