Swali: Je, mtu ang´olewe jino la dhahabu alilokufa nalo?
Jibu: Bora waling´oe ili wanufaike nalo na waliuze.
Swali: Mavazi yake?
Jibu: Hapana. Avishwe meno mengine kama ya fedha au madini mengine. Haifai kuvaa dhahabu isipokuwa wakati wa dharurah isipowezekana kuvaa kitu kingine.
Swali: Huku si kunaingia kumkatakata viungo maiti kule kumg´oa jino lake la dhahabu?
Jibu: Hapana, sio kumkatakata viungo vyake. Ni jambo jepesi kumtoa nalo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23283/حكم-لبس-اسنان-الذهب-وهل-تقلع-من-الميت
- Imechapishwa: 20/12/2023
Swali: Je, mtu ang´olewe jino la dhahabu alilokufa nalo?
Jibu: Bora waling´oe ili wanufaike nalo na waliuze.
Swali: Mavazi yake?
Jibu: Hapana. Avishwe meno mengine kama ya fedha au madini mengine. Haifai kuvaa dhahabu isipokuwa wakati wa dharurah isipowezekana kuvaa kitu kingine.
Swali: Huku si kunaingia kumkatakata viungo maiti kule kumg´oa jino lake la dhahabu?
Jibu: Hapana, sio kumkatakata viungo vyake. Ni jambo jepesi kumtoa nalo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23283/حكم-لبس-اسنان-الذهب-وهل-تقلع-من-الميت
Imechapishwa: 20/12/2023
https://firqatunnajia.com/kumgoa-maiti-jino-la-dhahabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)