Swali: Mimi nina ndugu ambaye amepoza mwili na pia ana kasoro ulimini mwake. Nataka kumfungia na kumtolea swadaqah. Ni matendo yepi katika hayo yanayomfikia?
Jibu: Swawm hafungi yeyote kumfungia mwengine. Haina uniaba. Kuhusu kumtolea swadaqah ni jambo zuri. Mtolee swadaqah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=bh2DpsHpwcU
- Imechapishwa: 11/05/2020
Swali: Mimi nina ndugu ambaye amepoza mwili na pia ana kasoro ulimini mwake. Nataka kumfungia na kumtolea swadaqah. Ni matendo yepi katika hayo yanayomfikia?
Jibu: Swawm hafungi yeyote kumfungia mwengine. Haina uniaba. Kuhusu kumtolea swadaqah ni jambo zuri. Mtolee swadaqah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=bh2DpsHpwcU
Imechapishwa: 11/05/2020
https://firqatunnajia.com/kumfungia-mgonjwa-aliyepooza-mwili/