Swali: Ibn-ul-´Arabiy amesema katika maelezo ya at-Tirmidhiy kwamba hakuna Hadiyth yoyote juu ya ubora wa Udhhiyah.
Jibu: Sikumbuki juu yake chochote ambacho ni Swahiyh. Ni kama ilivyosemwa. Mambo yalivyo ni kwamba ni katika matendo na amri yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hadiyth inayosema kuwa anapata kadhaa na kadhaa na kwamba anapata ujira sawa na idadi ya nywele zake [mnyama huyo] ni dhaifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/6266/هل-صح-حديث-في-فضل-الاضحية
- Imechapishwa: 08/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)