Swali: Imethibiti katika Hadiyth ya kwamba yule atayejenga uadui na walii wa Allaah basi amejenga uadui na Allaah. Inamgusa yule mwenye kujenga uadui na walii wa Allaah kwa sababu za kibinafsi na sio kwa kufuata yale Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) waliyoamrisha?
Jibu: Akimjengea uadui kwa sababu za kibinafsi ni kufuata matamanio. Sio kuchukia kwa ajili ya Allaah. Itakuwa ni kuchukia kwa ajili ya kufuata matamanio. Hii ni dhambi kubwa. Huyu ameyafanya matamanio yake kuwa mungu. Anapenda kwa ajili ya matamanio yake na anachukia kwa ajili ya matamanio yake. Anatoa kwa ajili ya matamanio yake na anazuia kwa ajili ya matamanio yake. Huyu ameyafanya matamanio yake kuwa mungu wake. Hii ni khatari kubwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
- Imechapishwa: 20/10/2016
Swali: Imethibiti katika Hadiyth ya kwamba yule atayejenga uadui na walii wa Allaah basi amejenga uadui na Allaah. Inamgusa yule mwenye kujenga uadui na walii wa Allaah kwa sababu za kibinafsi na sio kwa kufuata yale Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) waliyoamrisha?
Jibu: Akimjengea uadui kwa sababu za kibinafsi ni kufuata matamanio. Sio kuchukia kwa ajili ya Allaah. Itakuwa ni kuchukia kwa ajili ya kufuata matamanio. Hii ni dhambi kubwa. Huyu ameyafanya matamanio yake kuwa mungu. Anapenda kwa ajili ya matamanio yake na anachukia kwa ajili ya matamanio yake. Anatoa kwa ajili ya matamanio yake na anazuia kwa ajili ya matamanio yake. Huyu ameyafanya matamanio yake kuwa mungu wake. Hii ni khatari kubwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
Imechapishwa: 20/10/2016
https://firqatunnajia.com/kumchukia-muumini-kwa-sababu-za-kibinafsi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)