Swali: Unasemaje juu ya mtu ambaye anakusanya baina ya Dhuhr na ´Aswr kwa sababu ya kazi na anasema kwamba amemsikia Shaykh mmoja katika TV akitoa fatwa ya kufaa kufanya hivo?
Jibu: Kukusanya kati ya swalah mbili pasi na udhuru ni miongoni mwa madhambi makubwa. Tunamuomba Allaah usalama na msamaha.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 10/10/2020
Swali: Unasemaje juu ya mtu ambaye anakusanya baina ya Dhuhr na ´Aswr kwa sababu ya kazi na anasema kwamba amemsikia Shaykh mmoja katika TV akitoa fatwa ya kufaa kufanya hivo?
Jibu: Kukusanya kati ya swalah mbili pasi na udhuru ni miongoni mwa madhambi makubwa. Tunamuomba Allaah usalama na msamaha.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 10/10/2020
https://firqatunnajia.com/kukusanya-swalah-mbili-kwa-sababu-ya-kazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket