Swali: Kuna baadhi ya watu wanapomsomea mtu na kufikia Aayah fulani, wanaikariri mara nyingi. Kwa mfano mmoja wao kusema: “NaaruAllaahi muuqadah” kisha anaikariri kwa kirefu. Pindi tunapowakataza wanasema huku ni kumkomesha Shaytwaan. Ni lipi jibu lako?
Jibu: Sijui kama hili lina asli. Kukariri “NaaruAllaahi muuqadah” au mfano wa hayo au “´Alayhim naarun mu-uswadah”, sijui kama hili lina asli. Lililowekwa ni kuomba kinga kwa Allaah. Ikiwa kama anaogopa, anaweza kusema “A´udhibi Allaahi min sharri hadhaa” (ninajilinda kwa Allaah kutokana na shari ya huyu) baina yake yeye na Mola Wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 05/05/2015
Swali: Kuna baadhi ya watu wanapomsomea mtu na kufikia Aayah fulani, wanaikariri mara nyingi. Kwa mfano mmoja wao kusema: “NaaruAllaahi muuqadah” kisha anaikariri kwa kirefu. Pindi tunapowakataza wanasema huku ni kumkomesha Shaytwaan. Ni lipi jibu lako?
Jibu: Sijui kama hili lina asli. Kukariri “NaaruAllaahi muuqadah” au mfano wa hayo au “´Alayhim naarun mu-uswadah”, sijui kama hili lina asli. Lililowekwa ni kuomba kinga kwa Allaah. Ikiwa kama anaogopa, anaweza kusema “A´udhibi Allaahi min sharri hadhaa” (ninajilinda kwa Allaah kutokana na shari ya huyu) baina yake yeye na Mola Wake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/kukariri-aayah-mara-nyingi-katika-ruqyah-2/