Swali: Je, inajuzu kufanya I´tikaaf kwenye Msikiti ambapo hakuswaliwi Swalah ya Ijumaa?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Makusudio ni Swalah ya Jamaa´ah. Ama Ijumaa sio lazima. Kutoka kwa ajili ya Ijumaa hakuathiri kwa kuwa haikariri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Je, inajuzu kufanya I´tikaaf kwenye Msikiti ambapo hakuswaliwi Swalah ya Ijumaa?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Makusudio ni Swalah ya Jamaa´ah. Ama Ijumaa sio lazima. Kutoka kwa ajili ya Ijumaa hakuathiri kwa kuwa haikariri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/kukaa-itikaaf-katika-msikiti-usioswaliwa-ijumaa/