Swali: Vipi mtu akitumia mikono yake yote miwili wakati wa kula kwa mfano katika kukata nyama?
Jibu: Hakuna shida. Hakuna shida akitumia mkono wa kushoto kujisaidia. Lakini asile isipokuwa kwa mkono wake wa kulia. Ni kama mfano wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhimaa wa sallam) ambaye alikuwa akijisaidia kwa mkono wa kushoto katika kukata nyama na mfano wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28702/حكم-استخدام-اليسرى-مع-اليمنى-في-الطعام
- Imechapishwa: 23/04/2025
Swali: Vipi mtu akitumia mikono yake yote miwili wakati wa kula kwa mfano katika kukata nyama?
Jibu: Hakuna shida. Hakuna shida akitumia mkono wa kushoto kujisaidia. Lakini asile isipokuwa kwa mkono wake wa kulia. Ni kama mfano wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhimaa wa sallam) ambaye alikuwa akijisaidia kwa mkono wa kushoto katika kukata nyama na mfano wake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28702/حكم-استخدام-اليسرى-مع-اليمنى-في-الطعام
Imechapishwa: 23/04/2025
https://firqatunnajia.com/kujisaidia-kwa-mkono-wa-kushoto-wakati-wa-kula/