Swali: Ni ipi hukumu ya kujifunza lugha zingine ikiwa lengo ni kulingania katika dini ya Allaah?
Jibu: Ikiwa ni kwa ajili ya haja haina neno. Hakuna neno kujifunza nazo ikiwa malengo ni sahihi. Hata hivyo haijuzu kujifunza nazo kwa sababu ya kuzipenda.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)