Swali: Kuna ambao wanasema kuwa inafaa kujifakhari kwa kabila kwa sababu ni katika kuhadithia neema za Allaah?
Jibu: Hii ni neema ya Allaah? Kujifakhari kwa kabila ni katika neema za Allaah? Haya ni katika mambo ya kipindi kabla ya kuja Uislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17487
- Imechapishwa: 25/11/2017
Swali: Kuna ambao wanasema kuwa inafaa kujifakhari kwa kabila kwa sababu ni katika kuhadithia neema za Allaah?
Jibu: Hii ni neema ya Allaah? Kujifakhari kwa kabila ni katika neema za Allaah? Haya ni katika mambo ya kipindi kabla ya kuja Uislamu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17487
Imechapishwa: 25/11/2017
https://firqatunnajia.com/kujifakharisha-kwa-kabila-kutangazia-neema/