Swali: Je, Adhkaar za wakati wa kulala na mfano wake zinaingia katika makatazo kama mfano wa kusoma Qur-aan?
Jibu: Hapana ikiwa makusudio sio kisomo [cha Qur-aan] bali ni kusoma Adhkaar tu. Kusoma baadhi ya Aayah hakuna neno midhali mtu hakufanya hivo kwa malengo ya kusoma bali amesoma kwa lengo la Adhkaar kama du´aa isemayo:
ربنا لا تزغ قلوبنا بعد إذ هديتنا
“Ee Mola wetu! Usizipotoe nyoyo zetu baada ya kuzihidi.”
Hii haizingatiwi ni kusoma Qur-aan.
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimtaja Allaah katika hali zake zote.
Jibu: Adhkaar sio sawa na kisomo. Adhkaar imeenea zaidi kuliko kisomo.
- Mhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://mdkhly.com/1418
- Imechapishwa: 25/11/2017
Swali: Je, Adhkaar za wakati wa kulala na mfano wake zinaingia katika makatazo kama mfano wa kusoma Qur-aan?
Jibu: Hapana ikiwa makusudio sio kisomo [cha Qur-aan] bali ni kusoma Adhkaar tu. Kusoma baadhi ya Aayah hakuna neno midhali mtu hakufanya hivo kwa malengo ya kusoma bali amesoma kwa lengo la Adhkaar kama du´aa isemayo:
ربنا لا تزغ قلوبنا بعد إذ هديتنا
“Ee Mola wetu! Usizipotoe nyoyo zetu baada ya kuzihidi.”
Hii haizingatiwi ni kusoma Qur-aan.
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimtaja Allaah katika hali zake zote.
Jibu: Adhkaar sio sawa na kisomo. Adhkaar imeenea zaidi kuliko kisomo.
Mhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://mdkhly.com/1418
Imechapishwa: 25/11/2017
https://firqatunnajia.com/kusoma-adhkaar-zilizo-na-aayah-za-qur-aan-pasina-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)