Swali: Nilinunua kipande cha ardhi kwa sababu ya biashara. Nusu ya pesa niliazima kutoka kwa rafiki yangu. Vipi nitatoa zakaah yake?
Jibu: Baada ya kupita mwaka mmoja utakadiria thamani yake na kutoa zakaah yake 2,5%.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (89) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D9%8A%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-08-07-1439.lite__0.mp3
Swali: Nilinunua kipande cha ardhi kwa sababu ya biashara. Nusu ya pesa niliazima kutoka kwa rafiki yangu. Vipi nitatoa zakaah yake?
Jibu: Baada ya kupita mwaka mmoja utakadiria thamani yake na kutoa zakaah yake 2,5%.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (89) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D9%8A%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-08-07-1439.lite__0.mp3
https://firqatunnajia.com/kuitolea-zakaah-ardhi-kwa-pesa-ya-mkopo/