Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kuinua sauti katika du´aa kwa ajili ya kuwafundisha watu kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Akiinua sauti katika baadhi ya nyakati kwa ajili ya kufundisha hakuna tatizo. Akipandisha sauti yake katika kufundisha ili watu wajifunze du´aa, hilo ni jambo zuri. Ni kwa minajili ya kufunza. Ibn ´Abbaas aliinua sauti yake katika kusoma akasema:
“Ili mjue kuwa hiyo ni Sunnah.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31240/هل-يشرع-رفع-الصوت-بالدعاء-لتعليم-الناس
- Imechapishwa: 17/10/2025
Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kuinua sauti katika du´aa kwa ajili ya kuwafundisha watu kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Akiinua sauti katika baadhi ya nyakati kwa ajili ya kufundisha hakuna tatizo. Akipandisha sauti yake katika kufundisha ili watu wajifunze du´aa, hilo ni jambo zuri. Ni kwa minajili ya kufunza. Ibn ´Abbaas aliinua sauti yake katika kusoma akasema:
“Ili mjue kuwa hiyo ni Sunnah.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31240/هل-يشرع-رفع-الصوت-بالدعاء-لتعليم-الناس
Imechapishwa: 17/10/2025
https://firqatunnajia.com/kuinua-sauti-wakati-wa-duaa-kwa-lengo-la-kuwafunza-watu-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
