Swali: Baada ya kumaliza kutawadha niliingiwa na mashaka kama nilifuta juu ya soksi au hapana. Hata hivyo sikurudi kutawadha tena na nikaswali. Je, kitendo changu hichi ni sahihi?
Jibu: Mashaka baada ya kumaliza ´ibaadah hayadhuru. Lakini ukiingiwa na mashaka mwanzoni mwa ´ibaadah basi unatakiwa kushika lililo salama. Ikiwa ni katikati ya wudhuu´, basi unatakiwa kukamilisha kile ulichokitilia mashaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
- Imechapishwa: 17/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)