Kuhiji haraka mtu anapokuwa au inafaa kuchelewesha?

Swali 3: Je, wajibu wa hajj ni wa kutekelezwa mara moja tu au unaweza kucheleweshwa?

Jibu: Sahihi ni kwamba hajj ni wajibu wa kutekelezwa mara moja. Haijuzu kwa mtu ambaye ana uwezo wa kuhiji Nyumba Tukufu ya Allaah kuchelewesha.  Vivyo hivyo wajibu zote za Kishari´ah, ikiwa hazikufungamanishwa na wakati maalum au sababu fulani, basi ni wajibu kuzitekeleza mara moja.

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/13)
  • Imechapishwa: 08/05/2026