Swali: Ninayo tafsiri ya maana ya Qur-aan tukufu kwa lugha ya kingereza. Je, inafaa kafiri kuigusa?
Jibu: Hapana vibaya kafiri kugusa maana ya Qur-aan tukufu kwa lugha ya kingereza au lugha zingine. Tarjama ni tafsiri ya maana ya Qur-aan. Hapana neno kafiri akiigusa au ambaye hana twahara. Kwa sababu tarjama haina hukumu ya Qur-aan. Tarjama ina hukumu ya tafsiri. Hakuna vibaya kwa kafiri na ambaye hana twahara kugusa vitabu vya tafsiri ya Qur-aan. Vivyo hivyo inahusiana na vitabu vya Hadiyth, Fiqh na lugha ya kiarabu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (05/405)
- Imechapishwa: 13/08/2022
Swali: Ninayo tafsiri ya maana ya Qur-aan tukufu kwa lugha ya kingereza. Je, inafaa kafiri kuigusa?
Jibu: Hapana vibaya kafiri kugusa maana ya Qur-aan tukufu kwa lugha ya kingereza au lugha zingine. Tarjama ni tafsiri ya maana ya Qur-aan. Hapana neno kafiri akiigusa au ambaye hana twahara. Kwa sababu tarjama haina hukumu ya Qur-aan. Tarjama ina hukumu ya tafsiri. Hakuna vibaya kwa kafiri na ambaye hana twahara kugusa vitabu vya tafsiri ya Qur-aan. Vivyo hivyo inahusiana na vitabu vya Hadiyth, Fiqh na lugha ya kiarabu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (05/405)
Imechapishwa: 13/08/2022
https://firqatunnajia.com/kugusa-tarjama-ya-maana-ya-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)