Swali: Inajuzu kwa mwanamke ambaye yuko katika siku zake kugusa Qur-aan iliyopakuliwa kwenye simu?

Jibu: Simu sio msahafu. Simu, kanda na kinginecho sio msahafu. Kwa hivyo inajuzu kuibeba na kuigusa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
  • Imechapishwa: 18/12/2016