Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah tano, ijumaa hadi ijumaa nyingine, Ramadhaan hadi Ramadhan nyingine, ni kifutio cha yaliyoko kati yake muda wa kuwa kunaepukwa madhambi makubwa.”[1]
Mja akifanya matendo haya matatu na akajiepusha na madhambi makubwa, basi Allaah humsamehe madhambi na makosa yake madogomadogo. Ni katika mifano mikubwa inayoingia ndani ya maneno ya Allaah (Ta´ala):
إِنَّ الْحَسَنَاتِ يُذْهِبْنَ السَّيِّئَاتِ
“Hakika mema yanaondosha mabaya.”[2]
Kutokana na upole Wake Allaah amefanya kule kuyaepuka madhambi makubwa ni sababu ya kusamehewa yale madhambi madogomadogo:
إِن تَجْتَنِبُوا كَبَائِرَ مَا تُنْهَوْنَ عَنْهُ نُكَفِّرْ عَنكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَنُدْخِلْكُم مُّدْخَلًا كَرِيمًا
“Endapo mtajiepusha na madhambi makubwa mnayokatazwa, basi Tutakufutieni madhambi yenu madogo na tutakuingizeni katika mahali patukufu.”[3]
[1] Muslim.
[2] 11:114
[3] 4:31
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bahjat-ul-Abraar, uk. 73
- Imechapishwa: 23/02/2021
Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah tano, ijumaa hadi ijumaa nyingine, Ramadhaan hadi Ramadhan nyingine, ni kifutio cha yaliyoko kati yake muda wa kuwa kunaepukwa madhambi makubwa.”[1]
Mja akifanya matendo haya matatu na akajiepusha na madhambi makubwa, basi Allaah humsamehe madhambi na makosa yake madogomadogo. Ni katika mifano mikubwa inayoingia ndani ya maneno ya Allaah (Ta´ala):
إِنَّ الْحَسَنَاتِ يُذْهِبْنَ السَّيِّئَاتِ
“Hakika mema yanaondosha mabaya.”[2]
Kutokana na upole Wake Allaah amefanya kule kuyaepuka madhambi makubwa ni sababu ya kusamehewa yale madhambi madogomadogo:
إِن تَجْتَنِبُوا كَبَائِرَ مَا تُنْهَوْنَ عَنْهُ نُكَفِّرْ عَنكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَنُدْخِلْكُم مُّدْخَلًا كَرِيمًا
“Endapo mtajiepusha na madhambi makubwa mnayokatazwa, basi Tutakufutieni madhambi yenu madogo na tutakuingizeni katika mahali patukufu.”[3]
[1] Muslim.
[2] 11:114
[3] 4:31
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Bahjat-ul-Abraar, uk. 73
Imechapishwa: 23/02/2021
https://firqatunnajia.com/kufutwa-kwa-madhambi-madogomadogo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)