Swali: Nimewasikia wanaosema kwamba imechukizwa kufuta mchanga kwenye paji la uso baada ya kumaliza kuswali. Je, kitendo hichi kina msingi?
Jibu: Hakina msingi kutokana na tunavotambua. Imechukizwa kufanya hivo kabla ya salamu. Kwa sababu imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika baadhi ya swalah zake kwamba alitoa Tasliym kutoka katika swalah ya Fajr katika usiku wa mvua na kukaonekana usoni mwake athari za maji na udongo. Hiyo ni dalili inayojulisha kutokupangusa kabla ya kumaliza swalah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/198)
- Imechapishwa: 30/10/2021
Swali: Nimewasikia wanaosema kwamba imechukizwa kufuta mchanga kwenye paji la uso baada ya kumaliza kuswali. Je, kitendo hichi kina msingi?
Jibu: Hakina msingi kutokana na tunavotambua. Imechukizwa kufanya hivo kabla ya salamu. Kwa sababu imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika baadhi ya swalah zake kwamba alitoa Tasliym kutoka katika swalah ya Fajr katika usiku wa mvua na kukaonekana usoni mwake athari za maji na udongo. Hiyo ni dalili inayojulisha kutokupangusa kabla ya kumaliza swalah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/198)
Imechapishwa: 30/10/2021
https://firqatunnajia.com/kufuta-mchanga-usoni-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)