Swali: Kuna ubaya kuchukua maji mapya wakati wa kufuta masikio?
Jibu: Haya yamesemwa na baadhi y wanachuoni. Bora ni yeye apanguse masikio kwa maji aliyotangulia nayo kufuta kichwa hapo kabla.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
- Imechapishwa: 01/09/2018
Swali: Kuna ubaya kuchukua maji mapya wakati wa kufuta masikio?
Jibu: Haya yamesemwa na baadhi y wanachuoni. Bora ni yeye apanguse masikio kwa maji aliyotangulia nayo kufuta kichwa hapo kabla.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
Imechapishwa: 01/09/2018
https://firqatunnajia.com/kufuta-masikio-kwa-maji-mapya/