Swali: Ni ipi hukumu ya kufungua akaunti katika benki ya ribaa pasi na kuchukua faida juu yake?
Jibu: Mtu akihitajia kufanya hivo au akalazimika basi hapana neno. Asichukue faida. Akijitosheleza ndio bora zaidi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 19/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kufungua akaunti katika benki ya ribaa pasi na kuchukua faida juu yake?
Jibu: Mtu akihitajia kufanya hivo au akalazimika basi hapana neno. Asichukue faida. Akijitosheleza ndio bora zaidi.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 19/11/2021
https://firqatunnajia.com/kufungua-akaunti-katika-benki-ya-ribaa/