Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga ndoa na mwanamke mwenye hedhi?
Jibu: Hakuna neno. Lakini asifanye naye mapenzi. Akifanya naye mambo ya kimapenzi basi asimjamii mpaka asafike.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 19/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga ndoa na mwanamke mwenye hedhi?
Jibu: Hakuna neno. Lakini asifanye naye mapenzi. Akifanya naye mambo ya kimapenzi basi asimjamii mpaka asafike.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 19/06/2020
https://firqatunnajia.com/kufunga-ndoa-na-mwenye-hedhi/