Swali: Mtu ambaye ameweka nadhiri ya kufunga mwezi mzima analazimika kufunga mfululizo?
Jibu: Kwa mujibu wa nia yake. Ikiwa alikusudia kuzitekeleza kwa kufuatana, basi lazima azifanye. Vinginevyo hapana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 129
- Imechapishwa: 05/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)