Swali: Kuna wanaosema kwamba kusema uwongo katika hali ya usingizi ni kubaya zaidi kuliko kusema uwongo katika hali ya kuwa macho kwa kujengea dalili kwa Hadiyth aliyoipokea al-Bukhaariy:
“Hakika miongoni mwa uzushi mkubwa mno ni mtu kusimulia kwa ambayo hakuona usingizi.”?
Jibu: Kwa hali yoyote ile uwongo ni mbaya; ni mamoja kuhusu usingizini na katika hali ya kuwa macho. Namuomba Allaah usalama.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23370/هل-الكذب-في-المنام-اشد-منه-في-اليقظة
- Imechapishwa: 04/01/2024
Swali: Kuna wanaosema kwamba kusema uwongo katika hali ya usingizi ni kubaya zaidi kuliko kusema uwongo katika hali ya kuwa macho kwa kujengea dalili kwa Hadiyth aliyoipokea al-Bukhaariy:
“Hakika miongoni mwa uzushi mkubwa mno ni mtu kusimulia kwa ambayo hakuona usingizi.”?
Jibu: Kwa hali yoyote ile uwongo ni mbaya; ni mamoja kuhusu usingizini na katika hali ya kuwa macho. Namuomba Allaah usalama.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23370/هل-الكذب-في-المنام-اشد-منه-في-اليقظة
Imechapishwa: 04/01/2024
https://firqatunnajia.com/kuelezea-ndoto-ya-uwongo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)