Swali: Vipi kuhusu kuelekea Qiblah wakati wa kusoma Qur-aan?
Jibu: Ikiwa ni kwa njia ya kufanyia kazi yale yaliyopokelewa katika baadhi ya Hadiyth:
”Vikao bora ni vile vinavyoelekewa Qiblah.”[1]
kwa mwelekeo huo, basi nakuna kizuizi ya kwamba muislamu wakati wa kusoma kwake Qur-aan akaelekea Qiblah. Lakini kwa mantiki ya kwamba ni moja miongoni mwa adabu kwa njia ya kwamba asipoifaya mwingine basi asikemewe. Kwa sababu sio miongoni mwa mambo aliyomafaradhishia juu yake.
[1] at-Twabaraaniy katika ”al-Awsatw” (03/25/2354). Tazama ”as-Swahiyhah” (2645) na ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (3085)
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 39
- Imechapishwa: 01/07/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)