Swali: Sigara, kujitoa manii na kunyoa ndevu ni katika madhambi makubwa?
Jibu: Kufanya mambo wazi wazi [pasi na kujificha] na kudumu nayo, kunafanya yanakuwa madhambi makubwa. Ama ikiwa mtu alifanya mara moja na akatubu na baadae akaacha, anasamehewa na inakuwa ni dhambi ndogo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Swali: Sigara, kujitoa manii na kunyoa ndevu ni katika madhambi makubwa?
Jibu: Kufanya mambo wazi wazi [pasi na kujificha] na kudumu nayo, kunafanya yanakuwa madhambi makubwa. Ama ikiwa mtu alifanya mara moja na akatubu na baadae akaacha, anasamehewa na inakuwa ni dhambi ndogo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
Imechapishwa: 01/06/2015
https://firqatunnajia.com/kudhihirisha-maasi-hadharani-ni-dhambi-kubwa/