Rabiy´ al-Madkhaliy: Shaykh Haafidhw (Rahimahu Allaah) amesema…

Msikilizaji: Kuna ambao wanachukua video.

Rabiy´ al-Madkhaliy: Wanachukua video?

Msikilizaji: Ndio.

Rabiy´ al-Madkhaliy: Usichukue picha. Picha ni haramu:

“Allaah amewalaani watengeneza picha.”

Picha ni haramu.

“Watu wataokuwa na adhabu kali siku ya Qiyaamah ni watengeneza picha.”

Hatuzungumzii siasa na maneno ya kipuuzi. Tunazungumzia dini, elimu na Tawhiyd. Tuchukue picha ndani yake?

  • Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=147591
  • Imechapishwa: 27/08/2020