Swali: Inajuzu kwangu kuchukua maji kutoka kwenye vyoo vya msikitini nikiwa na janaba na sina maji?
Jibu: Ni vizuri, hakuna neno. Wamewekwa kwa ajili ya kujisafisha. Chukua uende ukajisafisha nyumbani kwako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 26/11/2016
Swali: Inajuzu kwangu kuchukua maji kutoka kwenye vyoo vya msikitini nikiwa na janaba na sina maji?
Jibu: Ni vizuri, hakuna neno. Wamewekwa kwa ajili ya kujisafisha. Chukua uende ukajisafisha nyumbani kwako.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 26/11/2016
https://firqatunnajia.com/kuchukua-maji-kutoka-msikitini-kwa-ajili-ya-kuoga/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket