Swali 339: Mtu ambaye ana deni la kulipa kwa awamu na anaweza kulilipa kupitia mshahara wake. Je, anaweza kuchukua kutoka katika zakaah na kumpa mwenye deni lake mara moja?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Muda wa kuwa anaweza kulipa basi yeye ni tajiri[1].
[1] Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn aliulizwa swali kama hilo ambapo akasema kuwa inafaa akachukua kutoka katika zakaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 119
- Imechapishwa: 31/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket