Swali: Mwenye kuchinja kondoo na tumboni mwake kuna mtoto. Je, kuna neno juu ya hilo?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo. Akimchinja ni halali na mtoto wake aliyemo tumboni.
- Muhusika: Imaaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12796
- Imechapishwa: 19/11/2014
Swali: Mwenye kuchinja kondoo na tumboni mwake kuna mtoto. Je, kuna neno juu ya hilo?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo. Akimchinja ni halali na mtoto wake aliyemo tumboni.
Muhusika: Imaaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12796
Imechapishwa: 19/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuchinja-mbuzi-au-kondoo-aliye-na-mimba/