Swali: Inafaa kuchelewesha Twawaaf-ul-Ifaadhwah na kuifanya siku ya tarehe kumi na tatu ambapo mtu akanuia pamoja nayo Twawaaf-ul-Wadaa´?
Jibu: Akichelewesha Twawaaf-ul-Ifaadhwah wakati wa safari ambapo akamaliza matendo ya hajj kama mfano wa kurusha vijiwe na unyoaji kisha Swafaa´ akatufu Twawaaf-ul-Ifaadhwah basi itamtosheleza kutokamana na Twawaaf-ul-Wadaa´.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 12/09/2020
Swali: Inafaa kuchelewesha Twawaaf-ul-Ifaadhwah na kuifanya siku ya tarehe kumi na tatu ambapo mtu akanuia pamoja nayo Twawaaf-ul-Wadaa´?
Jibu: Akichelewesha Twawaaf-ul-Ifaadhwah wakati wa safari ambapo akamaliza matendo ya hajj kama mfano wa kurusha vijiwe na unyoaji kisha Swafaa´ akatufu Twawaaf-ul-Ifaadhwah basi itamtosheleza kutokamana na Twawaaf-ul-Wadaa´.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 12/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuchelewesaha-twawaaf-ul-ifaadhwah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)