Swali: Ni ipi hukumu ya kujumuisha kati ya Takbiyrat-ul-Ihraam na Rukuu´ katika swalah?
Jibu: Piga Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama na usinuie ikawa ndio ya Rukuu´. Leta Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama kwa sababu ni nguzo miongoni mwa nguzo za swalah.
Kuhusiana na Takbiyr ya kwenda kwenye Rukuu´ katika hali hii sio wajibu. Ukitaka utaileta na usipotaka hutoileta.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kujumuisha kati ya Takbiyrat-ul-Ihraam na Rukuu´ katika swalah?
Jibu: Piga Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama na usinuie ikawa ndio ya Rukuu´. Leta Takbiyrat-ul-Ihraam hali ya kuwa umesimama kwa sababu ni nguzo miongoni mwa nguzo za swalah.
Kuhusiana na Takbiyr ya kwenda kwenye Rukuu´ katika hali hii sio wajibu. Ukitaka utaileta na usipotaka hutoileta.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuchanganya-takbiyrat-ul-ihraam-na-ya-kwenda-rukuu/