Swali: Mtu akisilimu na jina lake kabla ya Uislamu ni katika yale yenye kujinasibisha kwamba ni mja wa asiyekuwa Allaah – je, ni lazima kulibadilisha?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alibadilisha majina ya watu waliosilimu na walikuwa na majina yenye kujinasibisha kwamba ni waja wa asiyekuwa Allaah ambapo akayabadilisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2019
Swali: Mtu akisilimu na jina lake kabla ya Uislamu ni katika yale yenye kujinasibisha kwamba ni mja wa asiyekuwa Allaah – je, ni lazima kulibadilisha?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alibadilisha majina ya watu waliosilimu na walikuwa na majina yenye kujinasibisha kwamba ni waja wa asiyekuwa Allaah ambapo akayabadilisha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
Imechapishwa: 19/04/2019
https://firqatunnajia.com/kubadilisha-majina-ya-waliosilimu/