Swali: Mtu akisilimu na jina lake kabla ya Uislamu ni katika yale yenye kujinasibisha kwamba ni mja wa asiyekuwa Allaah – je, ni lazima kulibadilisha?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alibadilisha majina ya watu waliosilimu na walikuwa na majina yenye kujinasibisha kwamba ni waja wa asiyekuwa Allaah ambapo akayabadilisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)