Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka mkono juu ya msahafu kisha mtu akaapa?
Jibu: Hili halina msingi. Msahafu hautumiwi kwa kuweka mkono juu yake wakati wa kuapa. Hautumiwi kwa hili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340527.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka mkono juu ya msahafu kisha mtu akaapa?
Jibu: Hili halina msingi. Msahafu hautumiwi kwa kuweka mkono juu yake wakati wa kuapa. Hautumiwi kwa hili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340527.mp3
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-kuweka-mkono-juu-ya-msahafu/