Swali: Sherehe nyingi kunaanzwa kusomwa baadhi ya Aayah kutoka katika Qur-aan tukufu. Je, katika kufanya hivo kuna makatazo?
Jibu: Ikiwa sherehe hii ndani yake hakuna maasi wala mambo yenye kwenda kinyume, kuanzwa kwa Qur-aan ni jambo zuri. Ama ikiwa sherehe hii ndani yake kuna mambo yenye kwenda kinyume na maasi haifai kuanza kwa Qur-aan. Kwa sababu huku ni kuitweza Qur-aan na ni kuitumia pasipokuwa mahala pake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
- Imechapishwa: 07/04/2019
Swali: Sherehe nyingi kunaanzwa kusomwa baadhi ya Aayah kutoka katika Qur-aan tukufu. Je, katika kufanya hivo kuna makatazo?
Jibu: Ikiwa sherehe hii ndani yake hakuna maasi wala mambo yenye kwenda kinyume, kuanzwa kwa Qur-aan ni jambo zuri. Ama ikiwa sherehe hii ndani yake kuna mambo yenye kwenda kinyume na maasi haifai kuanza kwa Qur-aan. Kwa sababu huku ni kuitweza Qur-aan na ni kuitumia pasipokuwa mahala pake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
Imechapishwa: 07/04/2019
https://firqatunnajia.com/kuanza-sherehe-kwa-kusoma-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)