Swali: Je, inajuzu kufunga baada ya siku ya 15 Sha´baaan mpaka mwisho wake?
Jibu: Kumekuja Hadiyth inayosema Sha´baan ikifika katikati msifunge. Yule anayetaka kheri aanze kabla ya nusu yake. Nusu ikimfikia hakuna neno akaendelea kufunga. Ama kuhusu yule ambaye hakufunga isipokuwa baada ya nusu, kuna Hadiyth inayokataza hilo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-jum_ah-15-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Je, inajuzu kufunga baada ya siku ya 15 Sha´baaan mpaka mwisho wake?
Jibu: Kumekuja Hadiyth inayosema Sha´baan ikifika katikati msifunge. Yule anayetaka kheri aanze kabla ya nusu yake. Nusu ikimfikia hakuna neno akaendelea kufunga. Ama kuhusu yule ambaye hakufunga isipokuwa baada ya nusu, kuna Hadiyth inayokataza hilo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-jum_ah-15-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/kuanza-kufunga-shabaan-inapofika-katikati/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)